sw.news
66

Askofu: "Uzushi Wa Francis Umekuwa Rasmi"

"Uzushi wa Francis umekuwa rasmi", amesema aksofu mstaafu Rene Henry Gracida, mwenye umri wa miaka 94, wa Corpus Christi, mjininTexas, nchini Marekani, katika blogu lake abyssum.org (Desemba 4). …Zaidi
"Uzushi wa Francis umekuwa rasmi", amesema aksofu mstaafu Rene Henry Gracida, mwenye umri wa miaka 94, wa Corpus Christi, mjininTexas, nchini Marekani, katika blogu lake abyssum.org (Desemba 4).
Gracida aliandika sentensi hii moja kama maoni chini ya habari zilizosema kuwa Francis alichapisha mwongozo wa kizushi wa Maaskofu wa Buenos Aires na barua yake tatanishi huku akiziidhinisha katika Acta Apostolicae Sedis, gazeti rasmi la Vatikani.
Francis hata aliziita hati hizo mbili "Barua Rasmi ya Papa ya Uchungaji".
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsFxjdcrihqc