John Paul II, " Hakuna Mtu Yeyote Anayeweza Kuibadilisaha Humanae Vitae"
![](https://seedus3932.gloriatv.net/storage1/03e0xpbxh5nia4091sxyyc00yjc5jrpwbroyem4.webp?scale=on&secure=w9-iIJlkF9kYaEI8npl7jw&expires=1722063697)
John Paul II alimjibu, kuwa sio yeye wala Paul VI waliobuni mafundisho yaliyomo kwenye nakala ya HUmanae Vitae, "Siwezi kuyabadilisha. Hakuna anayeweza kuyabadilisha, hakuna yeyote. Hata Kanisa lenyewe haliwezi."
Grygiel aliletwa Roma na John Paul II. Alifunza katika Taasisi ya Roma Ya Masuala ya Ndoa na Familia ambayo iliuawa na Papa FRancis mnamo mwezi Septemba mwaka wa 2017.
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsKzszprnigk