Mwaka huu shemasi 590 watatawazwa kuwa mapadre nchini Marekani. Umri wao wa wastani ji miaka 34. Kulingana na Chuo Kikuu cha Georgetown cha Utafiti katika Uchungaji (Georgetown University's Center for Applied Research in the Apostolate) kuomba rosari na kushiriki katika kuabudu Ekaristi ni vitu muhimu sana kwa miito ya asilimia sabini yao.