"Francis Anataka Mazungumzo Na Yeyote Ila Makardinali Wake
![](https://seedus3932.gloriatv.net/storage1/5bkeu8yk96gjcrgll32vrnof5zzlvb018kzmttk.webp?scale=on&secure=18yJcmHtL6ZWkb6Xp5zr2g&expires=1722903351)
Anaendelea kueleza kuwa mgawanyiko uloiko Kanisani, mitizamo inayohitilafiana ya mabaraza ya maaskofu duniani kote, husababishwa na "aina ya uasi".
Kwa Pentin, hakuna uwezekano kuwa Papa atajibu maswali yale. Analiona likiwa jambo lenye kinaya "kuwa Papa anataka mazungumzo na mtu yeyote ila Makardinali wake."
Picha: Edward Pentin on EWTN, #newsXswmthixbi