sw.news
15

Seneta Wa Kwanza Mwitaliano Mwenye Asili Ya Kiafrika Achaguliwa- Vyama Viungavyo Mkono Uhamaji Havijafurahia

Toni Iwobi, mwenye umri wa miaka 62, Mkatoliki mhamaji kutoka Nigeria, amechaguliwa huko Brescia, Lombardy, kama seneta wa kwanza Mwitaliano mwenye asili ya Kiafrika katika Historia ya Jamhuri ya Italia. Hata hivyo, kuchaguliwa kwake hakukusifiwa na Vatikani na mashirika mengine ambayo huunga mkono uhamaji haramu.

Sababu: Iwobi ni wa chama kipingacho ihamaji haramu cha Lega Party ambacho amekuwa mwanachama wake kwa miaka 25. Chama hicho cha Lega kilikuwa chama cha pili kikuu zaidi katika bunge baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Machi. Iwobi ndiye msemaji wa chama chake juu ya mambo ya uhamaji. Alisaidia katika utunzi wa mashauri ya chama hicho yapingayoo uhamaji.

Propaganda za mrengo wa kushoto ambazo hutawala katika vyombo vikuu vya habari na ambazo hupenda kukibandika chama cha Lega taswira ya "ubaguzi wa rangi", zinashindwa kuficha mafadhaiko yake.

Picha: Toni Iwobi, #newsNbwucoqndk