"Iweje Vatikani Inashiriki Katika Mazungumzo Ya Maridhiano Ilhali Uchina Inaendelea Kubomoa Makanisa?"
![](https://seedus4268.gloriatv.net/storage1/wa1eleeh0rrvuuttx0ey0monj92y3nxdbtym17u.webp?scale=on&secure=RIcXqXAo4IDwDcCs0Z21pw&expires=1721367439)
Tukio hili ni mojawapo tu ya ubomoaji wa makanisa mengi ya Kikatoliki nchini Uchina katika nyakati za hivi maajuzi. Padre Alexander Lucie-Smith aliuliza kwenye Catholic Herald, “Iweje Vatikani Inashiriki Katika Mazungumzo Ya Maridhiano Ilhali Uchina Inaendelea Kubomoa Makanisa?"
#newsBeirckneec
02:02