Hatua Itakayofuata Nchini Ujerumani: Ekaristi Kwa Waislamu
![](https://seedus4268.gloriatv.net/storage1/phfsuxf1hlwixjc3s1u9row0k9rhdiytmk0ue8u.webp?scale=on&secure=4NLIY4bovzVlIWzRip0rbQ&expires=1721565737)
Kulingana na Orth, ni jambo linaloonyesha "ukosefu wa msimamo thabiti" kwa maaskofu hao kuwa Waprotestanti wanakubalishwa kupokea Ekaristi wakati wa sherehe za harusi na wenzi wao Wakatoliki wala sio baadae.
Hoja hii ni yeneye makosa. Kwanza, Waprotestanti ambao hawana imani katika Ekaristi (vinginevyo wao sio Waprotestanti) na kamwe kutoshiriki katika kitubio, jambo ambalo ni la lazima ili kupokea Ekaristi, kamwe hawajakubalishwa kupokea Ekaristi. Pili, Orth alisema kuwa kwa miongo sasa limekuwa jambo la kawaida katika nchi yake kuwaalika Waprotestanti wote kupokea Ekaristi Takatifu. Hivyo basi wanachokishinikiza maaskofu hao, tayari kipo.
Hili linaonyesha mtinda ambao Ujerumani na kisha Vatina hufuata katika udhoofishaji wa imani ya Kikatoliki: Kwanza wanastahimili dhulma kali kisha wanaendelea "kuzihalalisha".
Ujerumani ni nchi yenye Waislamu weni. NI jambo la wakati tu kisha WAislamu hao wataalikwa kupokea Ekaristi, iwapo bado hawajaalikwa.
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsOatlxetlpa