Askofu Azishutumu Kampeni Za Kisiasa Za Francis
![](https://seedus0275.gloriatv.net/storage1/byjwb0qiyh3sfjke3ndf52y25jrpotkcsyewgt4.webp?scale=on&secure=2JifkmULQU38nvrinnFSpw&expires=1723821511)
Akiandika kwenye mtandao waLa Verità Neri alionya dhidi kupatiana uraia kwa njiabya kiotomatiki, bila kuchunguza, pamoja na mambo mengine, tamaduni za Uropa ya Kikristo.
Ripoti juu ya nakala hiyo iliyochaoishwa kwenye mtandao wa Il Giornale iliibua maoni 61 ambayo 60 yanamkosoa Papa Francis.
Picha: Luigi Negri, © Giorgio Minguzzi, CC BY-SA, #newsXsplmwqxlt