sw.news
35

Kila Mwaka tena, Francis Apiga Magoti Mbele Ya Wafungwa

Mnamo siku ya Alhamisi Takatifu, Papa Francis "aliongoza " Misa katika Gereza la Roma Regina Coeli na kuiosha miguu ya wafungwa 12 wakiwemo Wakatoliki, Mwanaothodoksi, Mwislamu, na Mbudha.

Kama ilivyokuwa imetabiriwa na Novus Ordo Watch, Francis alipiga magoti wakati wa ibada hiyo ya kuwaosha miguu huku akiiosha na kuibusu miguu.

Vinginevyo, kwa fahari Francis hukataa kupiga gpti mbele ya Sakramenti Takatifu.

Wakati wa Misa hiyo, Francis alisema kwamba yeye huugua kutokana na watoto wa macho na kwamba atafanyiwa upasuaji mwaka ujao.

#newsUeedlwwqcn