Rabbi, " Mahali Popote Ambapo Ukristu Unadidimia, Upagani Unakita Mizizi"
![](https://seedus6826.gloriatv.net/storage1/y11a8y6i1ria24cbq952fyvif3chlg64f8atw3o.webp?scale=on&secure=Pm5ghY4ovrP7MIj3ft0K1Q&expires=1721578491)
Akizungumza na Breaking Israel News alihusisha sanamu hiyo na "chipuko la upagani na uabudu wa miungu duniani". Alieleza kuwa upagani humkubalisha mtu "kubuni ukweli wake" na Umoja wa Mataifa (U.N) ni kama Upagani "mahala pa ukweli bandia uliobuniwa kwa kura".
Dokow alitamatisha, " tunachokishuhudia leo hii ni kuwa mahali popote ambapo Ukristu unadidimia, upagani na uabudu wa miungu unakita mizizi, na unakotoweka Ukristu, mambo ya kutamausha hutendeka."
Picha: © Giacomo Brings, CC BY-NC, #newsCwxxikyfbe