Habari Za Hivi Punde: "Halijakaribia"Kulingana na tweet ya Francis X Rocca msemaji mmoja wa Vatikani amesema kwamba kutiwa sahihi kwa makubaliano na Uchina kuhusiana na Maaskofu "halijakaribia"Picha: © Max Braun, CC BY-SA, #newsGuhtsskozk